MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Wednesday, November 29, 2017

ILIKUWEPO/IPO/ITAKUWEPO TOKA MWAKA 1947 BADO INASUMBUA!!

CLEAR ESSENCE ORIGINAL UKIIPATA HAIWEZI HAIWEZI KUKUDANGANYA KAMWEEE UWE NA NGOZI YA MAFUTA AMA KAVU!IPATE KWETU HUTOJUTRAA!! 

JE UMEPAKA HII KITU LAKINI HUJAIKUBALI?SASA TUNA NAMNA MPYA YA KUKUFANYA UIPENDE!!

KAMA KUNA KITU INAFANYA VIZURI SANA SAIVI NI QUEEN ELIZABETH ILIYOMIXIWA NA SERUM,MATOKEO YAKE NI MUBASHARA!!!!

Friday, August 11, 2017

#SLEEEP CAP IS A MUST HAVE FOR EVERY WOMAN WHO LOVES HER HAIR!!!

WENGI WETU TUNAPENDA KULALIA COTTON BILA KUJUA MADHARA YA COTTON KWENYE NYWELE!! COTTON HUPELEKEA NYWELE ZAKO KUKATIKAKATIKA NI KATI YA CHANZO KIKUBWA SANA CHA NYWELE KUKATIKA KATIKA,ILI UONDOKANE NAN HALI HII UNASHAURIWA UVAE MATERIALN YA SATIN ILI NYWELE ZIWE SALAMA, #SLEEP CAP ITAZILINDA NYWELE ZAKO ,ITAONGEZA MNG'AO NA KUZIKINGA DHIDI YA MAHARAMIA WAHARIBIFU!! IWAHI SASA KWA TSH. 25000 TU.

JE UNAITUMIA LAKINI HUIELEWI? TUNA PLAN B

@AKCOSMETICS TUMEKUJA NA NJIA AMABYO UTAITUMIA HII #QUEENELIZABETH COCOA BUTTER ITAKUPA MATOKEO YA KURIDHISHA HUJAWAI ONA YAANI NGOZI INANG'ARA UNAKUWA RANGI MOJA MWILI MZIMACHA KUFANYA NJOO AK COSMETICS MLIMANI CITY UONE HII KITU TUMEGUNDUA KAMA UNAYO TYR USIWAZE NJOO NAYO SISI TUTAKUUZIA SERUM YETU HII TU ILA KAMA IMEISHA AU HUNA TUTAKUUZIA QUEEN ELIZABETH KWA 25000/= KISHA TUKUCHANGANYIE KWA 35000/- MATOKEO NI MUBASHARA!!!

IS NO. 8 BORN OR MADE? #ANNCHERRY CORSET NDO HABARI

MAJI YA VITU VIKO KWA TREND KWA SASA NI KUPATA CORSET ORIGINAL YA#ANNCHERRY KUTOKA COLOMBIA HII HAINA SHORTCUT HAKIISHA NI ORIGINAL!! UTAFURAHI KWANZA TUMBO HUPOTEA MARA MOJA(INSTANTLY) LAKINI PIA KADRI UNAVYOIVAA NDIO LINAZIDI KURUDI KWA HIYO NDANI YA KIPINDI KIFUPI UTAJIKUTA UKO FLAT!!  WALE WAPENZI WA MAZOEZI ZINASADIA SANA KUKUONDOLEA KERO YA KITAMBI... NDUGU ZANGU MLIOTOKA UZAZI HII NDO YENYEWE!!ILA ILA ILA HAKIKISHA PLZ NI ORIGINAL MAANA UKIPATA MCHINA HAUTAKUWA COMFO KABISA UTATAMANI UITUPE!!

Thursday, June 22, 2017

kipindi cha kusweat hiki!! USIKUBALI KUWA KWENYE DISCOMFORT ZONE!!

NEVER AGREE TO BE ON DISCOMFORT ZONE IN UR PRESENCE! I SWEAR WE WONT ALLOW THAT!!NEVER NEVER AND THIS IS THE WEAPON #ABSOLUTORR MADE IN SWEEDEN!!

Thursday, June 15, 2017

KIMYA KINGI KINA MSHINDOO!!! HAPPY #NEWARRIVALS

Ukitumia creme Kali afu bdae ukaacha huwa kuna mabaka flani yanatokea kama Umeungua Hivi!!
Afu Kuna Hii inaitwa
Melasma
HABARI YAKE,
DUNIA NZIMA.
NI
#MELADERM 🌟🌟🌟🌟🌟
🔴 4Hyperpigmentation.

Instock
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
CALL 0753482909
FOR DELIVERY.

MOST WANTED SCENT #FOREVER RED SHOWERGEL

FOR THE LOVE OF GENTLEMEN NOT MEN!!

Wanaoijua Hii wao wanakusisitizia
Ukitaka uione shughuli
Pata Original tu!!


#clearessence
🔼 CREME
Imesumbua sana toka miaka hiyo mpka sasa inabamba, narudia original lakini!!

OFFER; @45000


Available
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
Opposite
#totalpetrolstation

CALL 0753482909
FOR DELIVERY.


Hii ndo #otentika
🔼Fade Creme
Mahsusi kwa wale wenye Ngozi kavu Usoni.
Ingawa kuna wengine huitumia mwilini hii tunairecommend Kwa USONI tena kwa wale wenye #Dryskin maana iko So Oil so ukiipaka ukiwa Oil Pia inaweza isikupende sana.

#Kitukitamu
#Rangiadhimu
#Ngozinyororo
#Mng'aothabiti

OFFER: 70,000

Available
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
CALL 0753482909
FOR DELIVERY.

Small as it is,
STRONG MORE THAN IT LOOKS,


Kadogoo lkn Nguvu YA tembo
Ndo Shughuli ya #otentika
Serum.
#otentika
🔺SERUM
Hii imix kwenye lotion, creme ama ipake yenyewe kwa mbaaali utaielewa mnoo mnooo.

OffER: 50,000/=

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery

kama Karangi kako hakaeleweki eleweki afu mwilini ngozi yako ina ukavu ukavu
Kitu ni Hiki

#otentika
🔺MAXTONE LOTION
For #DrySkin

OFFER: 70,000/=


Ipo kwetu
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
Opposite #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery 🚴

IF YOU WANNA BE VERY SEXY WEAR THIS...

0ne if the Very Best #shampoo

#Sheamoisture
With JAMAICAN BLACK CASTOR OIL

#shampoo

#Vituvizuri
#Kwanywelenzuri


OFFER: 50,000/=

Utafute hutojutra

We GOT It
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
Opposite #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery

Is Here Again....

#Sheamoisture
With Jamaican Black Castor Oil

#leaveinconditioner

Kati ya bidhaa adimu na inayofanya vizuri sana kwa watu wote wa #teamnaturalhair na hata wa wale wa Dawa.

Ni conditiner nzuri inayozifanya nywele zako ziwe moisturizered. JBCO iliyomixiwa humu ndo chachu ya kuzipa nywele zako mng'ao kukua na hata kuzuia Zisikatike.
UZURI wa #conditiner hii haioshwi ukiipata tu shughuli imeisha na iki ndo kinachoipa Chat mpk Kesho.



Utaipata
@ak_classic_cosmetics

Thursday, April 20, 2017

JE MNAFAHAMU UMUHIMU WA TONER? STAGE 2

Ingawa Stage Hii
Tunairuka sana
Kwa Kawaida
WATAALAM wa Mambo Wanashauri Mara Baada Ya Kucleanse (Kuosha Na Cleanser)
HATUA INAYOFATA HUWA
NI kutone (apply Toner)

Tofauti na Cleanser ambayo hupakwa kisha na kuoshwa na Maji Toner hupakwa Na Kuachwa... Je Hii ni Moisturizer??
Hapana. Baada YA kutone Ndio hufatiwa na Moisturizer!!
KAZI YAKE
Baada ya Kuosha Vinyweleo (Pores) Huwa WAZI kimsingi ivi havitakiwi kuwa wazi matumizi ya Toner huziba zile pores pasi na madhara ili uchafu kama Vumbi n.k usiiingie!
#Neutrogena
TONER✔ hushauriwa zaidi na Watu wenye Ngozi za Mafuta Na Kawaida(Oil& Dry skin)

Unataka
BIDHAA na Ushauri
Usisite Kutuona

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite NA #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery 🚴
— at Mlimani City.

UNAWEZA KUWA HUNA CHUNUSI LAKINI SI SABABU YAB KUACHA KUOSHA USO WAKO!! TUMIA JAMII HII

Either Uso Wako
Una Mafuta(Oil) ya Kawaisa (Normal skin)Ama Mkavu (Dry skin

Aina Hii ya Cleanser
(Mild Cleanser) Ndo Zenyewe.
#Aveeno
C.L.E.A.N.S.E.R
Kimsingi unashauriwa Kuhakikisha unaosha Uso Wako Walau mara 2 kwa Siku Kwa ajili ya Kuuweka Sawia Dhidi Ya vitu kama Jasho, Vumbi n.k
USO Uliooshwa vizuri hupumua vizuri kwani Cleanser hizi Hufungua Pores Za Ngozi ya Uso wako na Kuufanya kuwa Fresh...

N.B Wadada Mnaotumia Makeup Kama hutumii Makeup Remover ✔ na wala Huna Cleanser Basi huutendei Haki hata Kidogo Uso wako.
Kwann?
KWASABABU; makeup asilimia kubwa Hufunga pores za Uso na Kuufanya Uso upumue Kwa Shida So utumiaji wa Cleanser Ndo njia Nzuri ya Kufungua PORES zilizoshinda kutwa zimeziba ambayo si nzuri kwa afya ya Ngozi Yako.

#Freemadini
#AfyayaNgozi
#Liquidcleanser the Best
#Oilskin treatment
#Getthemoriginal

Cleanser
Za
Namna Hii
Tunazo @ak_classic_cosmetics

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery
— at Mlimani City.

MSUMBUKAO NA CHUNUSI NA RUSHES WOTE HII YA KWAAJILI YENU!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
NaWaletea Hii Namba 1 inayoshauriwa na wataaalam Wa Ngozi....
Yenye Fleva Ya upinkish
Unahitaji Hii
#Neutrogena
ACNE WASH OIL FREE
PINK GRAPEFRUIT
C.L.E.A.N.S.E.R


Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid 2%✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.
MATUMIZI
Osha Uso MARA 2 kwa Siku
Asbh na Jioni.

#facialcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser
— at Mlimani City.

NEUTROGENA CLEANSER HAIJAWAI KUMWANGUSHA MTU MWENYE MAFUTA USONI!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
Unahitaji Hii
#Neutrogena
ACNE WASH OIL FREE 👍
C.L.E.A.N.S.E.R

Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.

#facialcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser
— at Mlimani City.

KAMA UNA USO WA MAFUTA ISIKUPITE HII NTAKUPA NA SABABU!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
Unahitaji Hii
#Neutrogena
DEEP CLEAN👍
C.L.E.A.N.S.E.R

Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.

#facialcleanser
#Liquidcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite na #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909 #Door2Doordelivery
Wamkoani tunawatumia kwa bus
— at Mlimani City.

UNA USO WA MAFUTA?? UNAHITAJI HII MOISTURIZER YENYE MPK SUNSCREEN #KIBOKO

Ukishakuwa na Ngozi yenye Mafuta (OilSkin)
NA HATA ( Normal Skin)
HATUA ya 3
Zingatia unaChopaka!!
Maana ukiwa Oil na Ukapaka Vitu Vyenye Mafuta utaamsha Madude😠😠

HII iNAWAHUSU HASA Zaidi Ndugu zangu wenye Chunusi maana Hao asilimia Kubwq wana oil Skin.

Please Zingatia Ili
Ni Muhimu Munooo!!

Tafuta Kitu
Ambacho ni #Oilfree
Kama hii #Neutrogena
#Oilfree Moisturizer
Yenye #Sunscreen Kabisa.
What else unataka???😅

Na Upake Baada Ya Kuzingatia
Hatua Ya Kwanza na Ya Pili
Yaani Kucleanse na Kutone.

N.B Unaweza Miss Kutone But never Miss Kucleanse ( KUOSHA Uso Wako).


Njoo madini haya
UTAYAPATA
#MLIMANICITY
OPPOSITE #TOTALPETROLSTATION
#UNIVERSITYROAD
#CALL&WHATSUP0753482909
— at Mlimani City.