MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Thursday, April 20, 2017

JE MNAFAHAMU UMUHIMU WA TONER? STAGE 2

Ingawa Stage Hii
Tunairuka sana
Kwa Kawaida
WATAALAM wa Mambo Wanashauri Mara Baada Ya Kucleanse (Kuosha Na Cleanser)
HATUA INAYOFATA HUWA
NI kutone (apply Toner)

Tofauti na Cleanser ambayo hupakwa kisha na kuoshwa na Maji Toner hupakwa Na Kuachwa... Je Hii ni Moisturizer??
Hapana. Baada YA kutone Ndio hufatiwa na Moisturizer!!
KAZI YAKE
Baada ya Kuosha Vinyweleo (Pores) Huwa WAZI kimsingi ivi havitakiwi kuwa wazi matumizi ya Toner huziba zile pores pasi na madhara ili uchafu kama Vumbi n.k usiiingie!
#Neutrogena
TONER✔ hushauriwa zaidi na Watu wenye Ngozi za Mafuta Na Kawaida(Oil& Dry skin)

Unataka
BIDHAA na Ushauri
Usisite Kutuona

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite NA #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery 🚴
— at Mlimani City.

UNAWEZA KUWA HUNA CHUNUSI LAKINI SI SABABU YAB KUACHA KUOSHA USO WAKO!! TUMIA JAMII HII

Either Uso Wako
Una Mafuta(Oil) ya Kawaisa (Normal skin)Ama Mkavu (Dry skin

Aina Hii ya Cleanser
(Mild Cleanser) Ndo Zenyewe.
#Aveeno
C.L.E.A.N.S.E.R
Kimsingi unashauriwa Kuhakikisha unaosha Uso Wako Walau mara 2 kwa Siku Kwa ajili ya Kuuweka Sawia Dhidi Ya vitu kama Jasho, Vumbi n.k
USO Uliooshwa vizuri hupumua vizuri kwani Cleanser hizi Hufungua Pores Za Ngozi ya Uso wako na Kuufanya kuwa Fresh...

N.B Wadada Mnaotumia Makeup Kama hutumii Makeup Remover ✔ na wala Huna Cleanser Basi huutendei Haki hata Kidogo Uso wako.
Kwann?
KWASABABU; makeup asilimia kubwa Hufunga pores za Uso na Kuufanya Uso upumue Kwa Shida So utumiaji wa Cleanser Ndo njia Nzuri ya Kufungua PORES zilizoshinda kutwa zimeziba ambayo si nzuri kwa afya ya Ngozi Yako.

#Freemadini
#AfyayaNgozi
#Liquidcleanser the Best
#Oilskin treatment
#Getthemoriginal

Cleanser
Za
Namna Hii
Tunazo @ak_classic_cosmetics

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909
#Door2Doordelivery
— at Mlimani City.

MSUMBUKAO NA CHUNUSI NA RUSHES WOTE HII YA KWAAJILI YENU!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
NaWaletea Hii Namba 1 inayoshauriwa na wataaalam Wa Ngozi....
Yenye Fleva Ya upinkish
Unahitaji Hii
#Neutrogena
ACNE WASH OIL FREE
PINK GRAPEFRUIT
C.L.E.A.N.S.E.R


Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid 2%✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.
MATUMIZI
Osha Uso MARA 2 kwa Siku
Asbh na Jioni.

#facialcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser
— at Mlimani City.

NEUTROGENA CLEANSER HAIJAWAI KUMWANGUSHA MTU MWENYE MAFUTA USONI!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
Unahitaji Hii
#Neutrogena
ACNE WASH OIL FREE 👍
C.L.E.A.N.S.E.R

Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.

#facialcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser
— at Mlimani City.

KAMA UNA USO WA MAFUTA ISIKUPITE HII NTAKUPA NA SABABU!!

Kwa Wale Wenzangu,
Wenye USO wa Mafuta,
#Teamoilface😕
HATUA ya 1
Unahitaji Hii
#Neutrogena
DEEP CLEAN👍
C.L.E.A.N.S.E.R

Hii ni muhimu kwa ajili ya kupunguza Mafuta yako Mengi Usoni, Vumbi, Jasho N.K
Active indrigrient; Salicylic Acid✔
Kiungo Hiki ndio hasa Hufanya kazi ya Kunyonya Mafuta, Utumiaji wa Kiungo hiki unashauriwa pia uzingatie matumizi ya #sunscreen Kwani hufanya Ngozi kuwa prone na mionzi ya Jua kwa Matokeo mazuri Zaidi.

#facialcleanser
#Liquidcleanser
#Neutrogenacleanser
#teamoilskin
#Thebestcleanser

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite na #totalpetrolstation
#universityroad
#call&whatsup0753482909 #Door2Doordelivery
Wamkoani tunawatumia kwa bus
— at Mlimani City.

UNA USO WA MAFUTA?? UNAHITAJI HII MOISTURIZER YENYE MPK SUNSCREEN #KIBOKO

Ukishakuwa na Ngozi yenye Mafuta (OilSkin)
NA HATA ( Normal Skin)
HATUA ya 3
Zingatia unaChopaka!!
Maana ukiwa Oil na Ukapaka Vitu Vyenye Mafuta utaamsha Madude😠😠

HII iNAWAHUSU HASA Zaidi Ndugu zangu wenye Chunusi maana Hao asilimia Kubwq wana oil Skin.

Please Zingatia Ili
Ni Muhimu Munooo!!

Tafuta Kitu
Ambacho ni #Oilfree
Kama hii #Neutrogena
#Oilfree Moisturizer
Yenye #Sunscreen Kabisa.
What else unataka???😅

Na Upake Baada Ya Kuzingatia
Hatua Ya Kwanza na Ya Pili
Yaani Kucleanse na Kutone.

N.B Unaweza Miss Kutone But never Miss Kucleanse ( KUOSHA Uso Wako).


Njoo madini haya
UTAYAPATA
#MLIMANICITY
OPPOSITE #TOTALPETROLSTATION
#UNIVERSITYROAD
#CALL&WHATSUP0753482909
— at Mlimani City.

UNATAFUTA KITU CHA USO KILICHO POA??

Vitu Asilia Vilivyopoa,

Kwa AJILI Reception Yako.

HATUA YA 3

Uwe Na Chunusi

Usiwe Nazo.

Bado #Aveeno

Daily moisturizer

Itakuwa Chaguo Bora Kabisa!!

Unataka Kujua Kwann?

Njoo

@ak_classic_cosmetics

Tukuoneshe

Madini Usiyoyajua.

Tunapatikana

#call&whatsup0753482909