MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Friday, December 28, 2012

>>>Mambo ya kupendeza mtoto wa kike na watu wakakubali yote haya yapo AK Cosmetics.....


From Head to Toe you look WoW!!!Watoto wa kike mnajua wenyewe,jinsi unavyozidi kupendeza ndio jinsi ...................?!$.....mie simo jamani.

Saturday, December 22, 2012

>>>Huyu ndio mshindi wetu wa zawadi ya X-mas 2012....

red-open-knit-stud-embellished-cardigan-big.jpgCHANEL COCO MADEMOISELLE PARFUMzawadi

Una vitu vingapi kwenye pochi yako na vingapi umenunua AK Cosmetics?Alikuwa ana vitu 10. 8 kavinunua AK.Hizi ni "in store specials"usije ukasema mbona haukujua,ungekuja dukani ungejua.So don't miss out again.

Friday, December 21, 2012

SALE SALE SALE!Bado inaendelea Victoria's Secret na Bath&Body Works Products.....

  
Yeah haujachelewa bado vipo lakini unavyozidi kuchelewa hatuwezi kuhaidi chochote.BEI KARIBU NA BURE..................

Thursday, December 20, 2012

>>>AISEE KAMA HUJAWAHI KUJARIBU HATA MOJAWAPO KATI YA HIZI BASI USIJE UKASEMA "ooh mie chunusi zangu hazitibiki nshajaribu kila dawa naishia kuliwa pesa zangu tu'"!!MAMBO IKO HUKU bana!!!

HII BWANA INAITWA ACNE FREE (americas # 1 acne treatment) INA BRUSH YAKE YA KUSAFISHIA KABISA!!sifa zake em igoogle kidogo!!

MOJA KATI YA BIDHAA HADIMU LAKINI MADHUBUTI KABISA (PALMERS)

HII NAYO ACNE FREE ILA HII NI KWA WALE WENYE NGOZI ZA KUSIKILIZIA KAMA ITAFANYA NINI BAADA YA KUPAKA KITU KIPYA. 







Haya wakina mama/big sisters/big brothers, wadogo zenu walionza kukua na kwa bahati mbaya ngozi zao ni za CHUNUSI basi wanunulieni dawa yaani jinsi vinavyokukela wewe na yeye ndio hivyohivyo ila basi tu hana hela,kuwa msamalia mwema basi.
 
***Usije ukasema dawa zote hazifanyi kazi!maana haujajaribu zote.Mimi ni mfano hai nilishasema kitu fulani hakina tiba kumbe nilikuwa sijajaribu dawa itakayonipenda."Winners never quit and quitters never win.Kazi kwako.....

BreaKing News:HABARI NJEMA KWA WOTE MSUMBUKAO NA MICHIRIZI UTAMU SUGU (STRETCH MARKS)!!!

KWA MUJIBU WA WANAZUONI WA NGOZI WALIOBOBEA WAME-RESEARCH NA KUGUNDUA BIDHAA HIYO HAPO KWENYE PICHA KUTOKA AFRICA MAGHARIBI (WEST AFRICA) IKITUMIWA (KUCHANGANYWA) NA BIO-OIL YETU TULIYOIZOEA HUWEZA KUONDOA TATIZO LA MICHIRIZI KWA KIASI KIKUBWA!WENGI WAMEITUMIA NA WAMEIKUBALI,USISUBIRI KUHADITHIWA!!

COMBINATION HUENDA NAMNA HII,NJOO MWENYEWE AK CLASSIC COSMETICS UMALIZE TATIZO LAKO TENA KWA BEI NAFUUUUUU MAANA NI VITU ASILIA KABISA HIVI!!!

Picture Of Stretch Marks On Legs 132

Wednesday, December 19, 2012

>>>CelaBright hiyooo,yaani hiyo 2013 sijui nani atawaka vizuri zaidi ya mwenzake?!.......

celabrightCelabright™ may also be used to lighten the facial skin in order to achieve a lighter, brighter complexion and or to diminish the appearance of acne scars, or any other discoloration on the face or body. Additionally, because our formula contains safe ingredients, it is possible to use Celabright™ on any portion of the skin including sensitive, intimate areas of the body.

>>>Hii mambo yote ipo AK Cosmetics........!





Glyaha-Koj Lotion a combination of glycolic acid, hydroquinone and kojic acid is highly effective in reducing the pigment in melasma patients and also as as a skin lightening agent.

Tuesday, December 18, 2012

SALE SALE SALE!ON SELECTED PRODUCTS FROM VICTORIA'S SECRET & BATH&BODY WORKS NUNUA KIMOJA NA UPATE KINGINE 50%...OFF!




Product Image

Unaweza ukachanganya vyovyote vile kutoka picha hapo juu(mix & match).
Hii ni kuwatakia wateja wetu wote sikukuu njema.Nakipindi hichi ni cha KUTOA basi watu wote waliopo kwenye list yako tunatumaini,mtabadilishana ZAWADI.