| Baada ya kushop,unatuachia contact zako kwa ajili ya update ya new stock,discount info..n.k |
| Kila mtu anajisevia chake...kazi ni kwako!! |
| Ak classic winning team!! |
| weeeeee subiri kwanza tuweke swaaag!! |
| Nimpende naniiiiiiiiiiiiiiiiiii??? |
| "Hutu tuvijana tuna vidude vizuri vizuri...!!" |
| Mbona kila nayogusa nzuuuuriiiiii jamani nashindwa kuchagua!! |
| Kijana mbona my wife wangu hataki kuondoka hapa kwa banda lako!!!???vidubwasha gani hivi!!? |
| AK CLASSIC beibeeeeeeeeeeeeee!! |
| Yaaani hii unatumia 2 mara 3.LOLest |
No comments:
Post a Comment