MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Wednesday, July 27, 2016

THE POWER OF EXFOLIANT SOAP!!

JE WAJUA?
Sabuni hasa #exfloliantsoap zina nafasi kubwa sana juu ya kushine ama kufubaa kwa Ngozi yako???
NDIOOO SABUNI
Hizi huiandaa ngozi kabla ya kupaka iwe creme ama lotion...Wataalam wa Mambo wanasema ngozi iliyoandaliwa vizuri na Sabuni ina Nafasi nzuri zaidi ya kushine hata kama unapaka kitu cha kawaida kuliko yule ambae hutumii/haoshei ngozi yake na Uso.
Umuhimu Wa Sabuni unakuwa mkubwa zaidi kwa Uso kuliko sehemu yoyote ile ya mwili, Cha muhimu ujue wewe ni aina gani ya Ngozi na utumie Sabuni ya Aina Gani!

Fanya Maamuzi sasa.
#powerofexfoliation
#smoothskin
#mtelezo

More info
Visit us
@ak_classic_cosmetics #0753482909

No comments:

Post a Comment