MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Thursday, February 28, 2013

>>JE UNAJUA UMUHIMU WA TONER MWILINI MWAKO?

Loreal Cleanser and powder,Baada ya kusafisha ngozi kwa kawaida cleanser maara baada ya matumizi huacha njia za kupumia wazi,lakini kiutaalam zile njia zinatakiwa kuzibwa zikae wazi kwani zikikaa wazo vile nazo pia huchangia kusababisha muonekano mbaya!!

Toner za aina tofauti tofauti ambazo pia zimekuwa approved na wataaalm wa magonjwa ya ngozi(dermatologist)  zinaoatikana @AK classic.

No comments:

Post a Comment