MADUKA YAPO KINONDONI MANYANYA na MLIMANI CITY - OPPOSITE TOTAL PETROL STATION.

Thursday, August 25, 2016

THE MUST HAVE!! #PALMERS MOISTURIZING GEL WITH SPF 15

Kama umebahatika kusoma #maelezo yangu ya #skintherapyoil Sasa katika hii copy yote yale KISHA mimi naongezea neno moja hili HII ni πŸ‘ ZE
#musthave

Tofauti ya hii na ile hii iko nzito kidogo.
Alafu hii sitakuuliza zile maswali za pale juu.Hii nakwambia beba tu.

Hakuna aliyewahi Jutia kuwa ha hii sana sana ni lawama wakikutaga nimeishiwaπŸ˜•πŸ˜•

TaHADhaRI: Usiqoute maneno yangu ukienda chukua za MafunguπŸ™ˆπŸ™ˆ


SASA ziko Kwa Stock
@ak_classic_cosmetics
#Mlimanicity
Opposite #subway
#SurveyRoad

#call&whatsup0753482909
#DOOR2DOORDELIVERY

LOOKING FOR FACE THERAPY?HERE WE GO....

Baada Ya Kuona Palmers #skintherapyoil Imefanya vizuri sana na kuwa NA demand kubwa.
Watu wengine hasa wale wenzangu na mie #teamoilface wanaipaka Mpk usoni lakini wanakuwa na Negative reviews Palmers Wakaja na Hii
#skintherapyoil For Face
Hii ni mahsusi kwa ajili ya Uso tu.

HII ITAKUPA
a Balanced Tone✔
Toa madoa✔
Moisturizer✔

Wahi @ak_classic_cosmetics ziko chache
Tunapatikana
#Mlimanicity
Opposite #subway
#SurveyRoad

#call&whatsup0753482909
#DOOR2DOORDELIVER

JE NGOZI YAKO KAVU,INA MABAKA,MICHIRIZI NA RANGI ZAIDI YAMOJA?

Wengi wanaijua kama BIOL ya palmersπŸ˜†
Hii ndo
#skintherapyoil
Aisee kama wewe ngozi yako tata kidogo, kavu kupitiliza, mjamzito, una michirizi hii sio ya kukosa kwa Dressing table!!
Uzuri wa Hii Oil, haikubani kwamba usitumie kitu chako ulichokizoea na aunachokipenda hapana!!
Wee kuwa na Mafuta yako hayo unayoyapenda sana lakini hii pia Kuwa nayo, Paka pamoja ama changanya matokeo yako kwa Ngozi hutajutia!!
Tena kama una michirizi nitafute personally nkupe siri kubwa ya Hii utumie na nini uone matokeo ya Ajabu, ila tu uaitegemee matokeo ya Usiku mmoja.

Itafute...
KAZI KWAKO.

KWETU Ipo
@ak_classic_cosmetics

ARE YOU OIL SKIN? UNA CHUNUSII? KITU HIKI HAPA!!

Wale ndugu zangu Na mie Hapa, Nyuso za Mafuta.
Tumepata Mkombozi.πŸ’ƒπŸ’ƒ
No research no data
Hapa mambo ndo yanakoanziaπŸ˜†πŸ˜†

ZILE chunusi zisizoisha, Uso kama Kitumbua.
Kitu iki hapa
Cha
#antiacne from #Skinsuccess
Yaani hapa hutojutia pesa yako kwa kweli.
Ijaribu leo.
#teamoilface
#teamacneprone
#Roughskin


Angalizo: Kama una allergy na Sulphur inaweza isikukubali.


Bado Nasisitiza kupata Palmers Original kwani kwenye #Ubora hazifanani na hazijawahi kufanana!!

Kwetu @ak_classic_cosmetics
Tumeshakufanyia Kazi. JUS come And pick it.

KIBOKO YA MABAKA IKIKUACHA UNANG'AA!! #ANTIDARKSPOT

Wataalam wa Mambo wanakwambia Ukikutana na kitu cha Kupaka kina
#retinol
#vutaminE
#VitaminC
#Sunscreen
#allskintypes
Aisee usijiulize mara mbili beba fastaaa!!

Sasa Hii creme ya #antidarkspot ina vyote hivi.What a Product!!
Inafanya Vizuri sana Sokoni.
Inakupa rangi moja, inayoshine tena sio kushine kule kwa keleleeee! Hapana.
Wale ndugu zangu wenye Mabaka, itakusaidia sana huku ikifanya rangi iwe Moja uso mzima.
Kama shughuli zako no outdoor itakusaidia sana kukukinga na mionzi mikali ya Jua kwani ndio hufanya watu muonekane mmefubaa.

NiNi TEna UNaTaKa?
ZAidi Ya Hii

Angalizo
Cheap is Expensive!!!
Tafuta Palmers Original,Mwili Hauna Spea.

Hujui kutofautisha
NJOO kwetu @ak_classic_cosmetics tumeshakufanyia Kazi!!

Tunapatikana
#mlimanicity
Opposite #subway
#universityroad
#call&whatsup0753482909

BEST CHOICE THIS WEEK IS FROM #TANGA

MY Customer's are better than Yours!!😝

Jus Look their Choices!

#Happycustomer
Natural cocoa butter✔
Natural shea butter✔
T444z hair foof✔
Revlon foundation✔
Pure paradise b/lotion ✔

#Bestchoices
#goingnatural


On transit to #Tanga
Kudos to You mamito @hosiana99
— at Mlimani City.

MTOTO WA KIKE KUFUBAA KUNAHUSU??

Kitu kipya kitaa kinasumbua vilivyo
#PalmersAntidarkspot fade milk

Hii mahsusi kwa ajili ya mwilini ingawa kuna watu inawakubali mpaka Usoni.
Yale mambo sijui mwili una rangi zaidi ya mbili, mpka Tatu.NO

Humu

Utapata Rangi moja mwili mzima✔
Ngozi ya mwili itang'aa uzurii✔
Itakusaidia mabaka ya mwilini✔
Ngozi itakuwa moisturized✔
Itakukinga dhidi YA mionzi mikali ya Jua (sunscreen) ✔

IWahi Leo, hazikai hizi!!😈
#antidarkspot
#Newthing imekubalika
#Palmers
#Skinsuccess
#Fademilk


Back In stock

MTOTO WA KIKE KUFUBAA KUNAHUSU??

Kitu kipya kitaa kinasumbua vilivyo
#PalmersAntidarkspot fade milk

Hii mahsusi kwa ajili ya mwilini ingawa kuna watu inawakubali mpaka Usoni.
Yale mambo sijui mwili una rangi zaidi ya mbili, mpka Tatu.NO

Humu

Utapata Rangi moja mwili mzima✔
Ngozi ya mwili itang'aa uzurii✔
Itakusaidia mabaka ya mwilini✔
Ngozi itakuwa moisturized✔
Itakukinga dhidi YA mionzi mikali ya Jua (sunscreen) ✔

IWahi Leo, hazikai hizi!!😈
#antidarkspot
#Newthing imekubalika
#Palmers
#Skinsuccess
#Fademilk


Back In stock

Thursday, August 11, 2016

REDUCE UP TO SIX INCHES"....!!WITH ANNCHERRY CORSET

ARE YOU LOOKIN' FOR THAT SEXY BODY BODY? NO.8  KINDA ??? JUS HOLLA #0753482909 AKCLASSIC  #MLIMANI CITY